Home » » SHILOLE ARINGIA ‘UPAJA’ WAKE KWA MABUZI!

SHILOLE ARINGIA ‘UPAJA’ WAKE KWA MABUZI!

Written By Unknown on Saturday, February 22, 2014 | 7:42 AM

Msanii wa muziki ambaye katika siku za hivi karibuni ameonekana kuvuma, Zuwena Mohammed ‘Shilole’ alijitapa kuwa na paja la haja huku akidai ni sehemu ya mwili inayomfanya awe na mvuto na kuwadatisha wanaume.
Zuwena Mohammed ‘Shilole’.
Katika tukio la hivi karibuni ndani ya Ofisi za Global Publishers, Mwenge Bamaga jijini Dar, alipofika kwa ajili ya mahojiano na msanii huyo alitakiwa kupozi ili apigwe picha lakini cha ajabu alipandisha juu kigauni chake na kuonesha kipensi kifupi alichokuwa amevaa huku akidai ana paja la maana hivyo hana sababu ya kulificha.
“Mguu ninao, paja ninalo kwa nini nijifichefiche bwana?” Alisema Shilole na katika mahojiano alidokeza kuwa, mabuzi anayo na lazima ayachune kwani yeye ni mtoto wa kike.
Share this article :
 
Support : Creating Website | Johny Template | Mas Template
Copyright © 2011. Smasher Tz - All Rights Reserved
Template Created by Creating Website Published by Mas Template
Proudly powered by Blogger