Hukojowi mapema mkojo ukikushika


Hunywi maji ya kutosha


unakula chumvi sana kwenye chakula.


Hujitibu magonjwa ya kawaida kwa haraka na vizuri


Unakula nyama sana


Huli chakula cha kutosha


Unatumia Vidonge vya kukata maumivu kwa wingi


Huli kwa wingi vayakula vya virutubisho


Unakunywa pombe kupita kiasi


Hupumziki vya kutosha.