Home »
» KUNA BAR SINZA WANATOA WAPENZI BURE
KUNA BAR SINZA WANATOA WAPENZI BURE
Written By Unknown on Thursday, April 3, 2014 | 9:52 AM
MWANAKIJIJI 1: Aise nataka kwenda Dar
MWANAKIJIJI 2: Lazima ufike Sinza kuna baa inaitwa SHKAMOO
MWANAKIJIJI 1: Kwanini?
MWANAKIJIJI 2: Hapo ukiingia wanakupa kinywaji bure, halafu unapotoka unapewa mpenzi bure
MWANAKIJIJI 1: Dah huko lazima niende, we uliwahi kufika huko?
MWANAKIJIJI 2: Hapana lakini mke wangu kila akienda Dar lazima afike hapo