Home » » BOSI WAKO TAAHIRA

BOSI WAKO TAAHIRA

Written By Unknown on Wednesday, April 2, 2014 | 1:16 PM




Kijana kaajiriwa kuuza duka, bosi wake akamwacha anaendelea na shughuli, masaa machache baadae bosi akarudi akamkuta kijana anabishana vikali na mteja. Bosi akafika na kuanza kumtukana yule kijana;
BOSI: Wewe pumbavu vipi? katika biashara mteja ni mfalme, acha upumbavu wa kubishana na mteja atakachosema mteja ndicho hakuna vingine na uelewe hilo kuanzia leo. Haya mnabishana nini hapa?
KIJANA: Bosi huyu mteja alikuja hapa akaanza kunambia Bosi wako taahira
Share this article :
 
Support : Creating Website | Johny Template | Mas Template
Copyright © 2011. Smasher Tz - All Rights Reserved
Template Created by Creating Website Published by Mas Template
Proudly powered by Blogger