Home »
» BOSI WAKO TAAHIRA
BOSI WAKO TAAHIRA
Written By Unknown on Wednesday, April 2, 2014 | 1:16 PM
Kijana kaajiriwa kuuza duka, bosi wake akamwacha anaendelea na shughuli, masaa machache baadae bosi akarudi akamkuta kijana anabishana vikali na mteja. Bosi akafika na kuanza kumtukana yule kijana;
BOSI: Wewe pumbavu vipi? katika biashara mteja ni mfalme, acha upumbavu wa kubishana na mteja atakachosema mteja ndicho hakuna vingine na uelewe hilo kuanzia leo. Haya mnabishana nini hapa?
KIJANA: Bosi huyu mteja alikuja hapa akaanza kunambia Bosi wako taahira